Mwanaume nisikilize! Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata kama haikuambii ila we fahamu tu kuwa kuna vile wanawaza na kukutazama. Ukiwa huna pesa kuna namna fulani watu wanakunyima heshima au wanakukadiria heshima. Ukiwa huna pesa hakuna anayejali unachosema haijalishi unasema point au jambo la maana kiasi gani. Na ukiendelea kutoa msisitizo ili point yako isikilizwe utaambiwa unapiga kelele au unaleta vurugu kwenye kikao. Tunaishi katika Dunia ambayo haina huruma kwa mwanaume asiye na pesa. Dunia ni sehemu katili kwa mwanaume masikini si Kanisani si hospitalini kama huna pesa wewe si lolote si chochote hata aina ya maombi utakayopewa na heshima utakayopewa ni tofauti sana. Hata Kanisani wewe hata uwe na wanawake 6 na vimada 6 lakini una hela heshima yako italindwa, lakini kama huna pesa utatengwa. Hata Kanisa haliwapi kipaumbele wala heshima watu wasio na pesa. Mwanaume amka kila siku ufanye kazi kwa bidii na kwa akili na maarifa — du...
GROUP A Gp Pts # Team 0 0 1🇵🇹 FC Porto 0 0 2 🇧🇷Palmeiras 0 0 3 🇪🇬Al Ahly 0 0 4 🇺🇲Inter Miami GROUP B Gp Pts # Team 0 0 1 🇫🇷PSG 0 0 2 🇪🇸Atl. Madrid 0 0 3 🇧🇷Botafogo RJ 0 0 4 🇺🇲Seattle Sounders GROUP C Gp Pts # Team 0 0 1 🇩🇪Bayern Munich 0 0 2 🇦🇷Boca Juniors 0 0 3 🇵🇹Benfica 0 0 4 🇳🇿Auckland City GROUP D Gp Pts # Team 0 0 1 🏴...
DC NYAKIA MGENI RASMI UFUNGUZI WA UPIMAJI AFYA POLISI RUKWA Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mhe. Nyakia Ally Chilukile, amekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa huduma ya upimaji wa afya kwa magonjwa yasiyoambukizwa, zoezi lililoandaliwa na Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Afya cha Polisi nchini. Uzinduzi huo kwa mkoa wa Rukwa umefanyika Julai 5, 2025, katika viwanja vya Polisi Wilaya ya Sumbawanga, ukiambatana na mazoezi ya mbio za pole pole (jogging) yaliyoshirikisha vyombo vya ulinzi na usalama, vilabu vya michezo na wananchi wa kada mbalimbali. Katika hafla hiyo, Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Ummy Nderiananga, alihudhuria na kusisitiza umuhimu wa utunzaji wa afya kwa maendeleo ya taifa, akieleza kuwa afya bora ni msingi wa taifa imara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, SACP Shadrack Masija, naye alitumia fursa hiyo kuhimiza mazoezi ya mwili kama njia ya kuimarisha afya, kuongeza tija kiuchumi na kuboresha mahusiano ya kifamilia. Huduma hiyo ya upi...
Ukiwa ni mfanyakazi, sehemu ya tatu Wafanyakazi wengi wakipata kazi wanakuwa na tabia ya kuoa wake za watu au wanawake waliokuwa kwenye mahusiano na wanaume wengine. Katika kipindi hicho, utakuta wanaume walioporwa wake wao bado wako katika harakati za kujitafuta kimaisha au bado wanasoma. Kwa sababu ya wafanyakazi hao kuwa na ajira nzuri, hunyakua wake za watu, kuwaoa, na kuwahamishia mikoa mingine. Baada ya hapo huwazalisha watoto, wakidhani kwamba kumzalisha mwanamke ndiyo kumemaliza na kumfanya ampende. Lakini kiukweli, mahusiano hayo huwa yamejengwa juu ya msingi wa ajira na fedha—na hali hiyo hutokea kwa sababu yule aliyenyang’anywa mpenzi hana ajira wala uwezo wa kifedha. Hata hivyo, kadri siku zinavyosonga mbele, wanawake huanza kurudisha mapenzi kwa wanaume wao wa zamani, hasa baada ya wanaume hao kuanza kuwa na maisha mazuri wakiwa na ajira au fedha nyingi, pengine hata zaidi ya wale waliowanyang’anya wake. Mwisho wa siku, mke uliyemuoa kwa kumwanyang’anya lazima atarudi kwa ...
Muonekano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato Jijini Dodoma tarehe 14 Juni, 2025. ujenzi wa Kiwanja hicho cha Msalato unahusisha njia ya kuruka na kutua ndege (runway) jengo la abiria, jengo la kuongozea ndege pamoja na Miundombinu mengine. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo huku akiambatana na Rais wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina Juni 14, 2025.
📊 MOUSSA CAMARA - 🇬🇳 ⛔️ Matches - 28 ⏱ Time - 2520 Mins 🧤 Cleansheets - 19 _________________ 📊 DJIGUI DIARRA - 🇲🇱 ⛔️ Matches - 23 ⏱ Time - 2070 Mins 🧤 Cleansheets - 17 _________________ . . 📶 NAMNA YA KUPATA KIPA BORA. Idadi ya ‘cleansheets’ gawanya kwa idadi ya michezo yake aliyocheza ‘appearances’ kisha zidisha kwa asilimia mia moja, kupata asilimia (%) 📊 MOUSSA CAMARA - 🇬🇳 (19/28) x 100% (0.67857143) x 100% 67.857 = 68% _________________ 📊 DJIGUI DIARRA - 🇲🇱 (17/23) x 100% (0.73913043) x100% 73.9130435 = 74% ________________ . ⚠️NB: DJIGUI DIARRA (🇲🇱) KIPA BORA WA MSIMU - ✅ Follow Benedict Gaspa
Paschal Chinyele akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba ya kuomba kuwania ubunge Jimbo la Dodoma Mjini Juni 28, 2025 jijini Dodoma. Akionesha fomu hizo. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203
Mwanaume Unatakiwa umzidi mpenzi/mwenza wako kwenye vitu vitatu 1. Umri 2. Maarifa /akili / Elimu au uelewa wa mambo 3. Pesa/ kipato/utafutaji Na mwanamke anatakiwa umzidi mumeo kwenye vitu vitano 1. Uvumilivu 2. Usafi 3. Upendo 4. Mipango 5. Sala/maombi /Imani Na mnatakiwa muwe sawa kwenye vitu viwili 1. Uvumilivu 2. Heshima & Kusameheana. 3. Akili na busara Credit to the Rightful Owner
Comments