1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
1. TENDO LA NDOA NI JAMBO LA ASILI Tendo la ndoa ni kazi ya kibayolojia iliyoundwa kwa ajili ya uzazi, urafiki, uhusiano na furaha. Ni sehemu ya asili ya maisha ya mwanadamu yeyote. 2 TENDO LA NDOA NI TAMU LINAPOFANYIKA KWA RAHA NA KAMA CHOMBO CHA STAREHE Raha ya tendo la ndoa iko katika uhusiano wa kihisia, msisimko wa kimwili, na utulivu. Wapenzi wote wawili wanapostarehe na kushikamana, tendo linakuwa la kufurahisha sana na lenye utamu. 3 SAIKOLOJIA YA TENDO LA NDOA Hali ya akili ya mtu inaweza kufanya au kuvunja uzoefu waKE wakati wa tendo. Wasiwasi, kujihisi, au kukalili kitu au jambo unaweza kuhamisha mawzo na fikra zake wakati wa tendo. 4 USHIRIKIANO WA KIMAPENZI NI NI MHIMU KIHALISIA Watu wawili wanaweza kupendana lakini bado hawatalingana kimapenzi. Mawasiliano na wakati mwingine ni vizuri kufanya majaribio hii husaidia kutatua tatizo kama hili. 5. ROMANCE/KUANDAANA NI KITU MHIMU SANA NA NDIYO KINACHOLETA RAHA SANA Kubusu, kugusa, na kutaniana kabla ya tendo lenyewe husaidia k...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amemteua mbunge wa Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir kuwa Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia. Swali; Wanu ni nani? Kwa nini yeye nafasi ya Naibu Waziri wa Elimu? Jibu la kwanza ni hili; Wanu ni championi wa elimu. Jibu la pili; Wanu ni shujaa wa nishati safi ya kupikia. Wanu ni mwanasheria msomi. Kijamii ni Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF). Taasisi hiyo, imejikita katika kuwajenga na kuboresha maisha ya wanawake, vijana na watoto, kuanzia kwenye afya, elimu na uchumi. Shabaha kubwa ya MIF ni kushughulikia matatizo ya kijamii ndani ya Zanzibar na Tanzania kwa jumla, kupitia utekelezaji wa mikakati ya kiulimwengu. Madhumuni mama ya MIF ni kuzijengea uwezo jamii za Tanzania, kwa kuboresha elimu, kustawisha afya, kuchochea maendeleo ya kiuchumi, ili kuukabili na kuushinda umaskini, ujinga na maradhi, kupitia uongozi na juhudi za pamoja. Jimbo la Makunduchi, Zan...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza Baraza la Mawaziri huku wakiwekwa kando baadhi ya mawaziri waliokuwamo kwenye baraza lililopita. Walioachwa ni :- 1. Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko. 2. Hussein Bashe, Alikuwa Waziri wa Kilimo 3. Innocent Bashungwa, Alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani 4. Jenista Mhagama, Alikuwa Waziri wa Afya 5. Dk Seleman Jafo, Alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara 6. Dk Pindi Chana, Alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii 7. Dkt Damas Ndumbaro, Alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Nani hapa amekuuma zaidi kwa walioachwa. #LemutuzUpdates
DAAH ! ANASEMA HATA WANGECHEZA DAKIKA 120 WASINGEPATA GOLI Habibi Hanif Mchambuzi mahiri WA soka Algeria amesema timu ya Js Kabylie hata wangepewa dakika 120 bado wasingeweza kuifunga Yanga Mtindo wa uchezaji waliotumia haswa wanaposhambulia na kuvunjavunja safu ya wapinzani ulikuwa dhaifu. Habib Hanif amesema hakupenda kabisa Kocha Josef Zinnbauer alivyojaribu kuushikilia mchezo .Alifeli alivyoanza mchezo na akaja kuharibu kwenye mabadiliko ya wachezaji aliyofanya. Habib anasema anahofia sasa Js Kabylie itakapokwenda Tanzania kwa sababu Yanga ni hatari kwenye kushambilia. Habib Hanif - anashangaa inawezekana vip Js Kbaylie wakiwa nyumbani wapate nafasi za hatari 3 tu ambazo yeye anaona angalau! Jaribio la kichwa la Belaid na Aymen Mahiosu pamoja na shuti la Bbacar Sar. Anasisitiza kama umeshindwa kuutawala mchezo kwa sababu Yanga walikuwa bora katikati basi .Subiri wapinzani waje eneo lako kisha upokonye mpira uende kwao kwa haraka au uwe bora zaidi kwenye mipira iliyokufa. NB:Aw...
Emmanuel Mathias almaarufu kama Mc Pilipili mwenye uso wa uchekeshaji kama kazi yake ilivyo, alizaliwa mtaa wa Airport Dodoma mjini mnamo tarehe 1 mwezi wa 10 mwaka 1985 akiwa ni mtoto wa pili wa Bwana Mathias Matebe na Bi Mariam Matebe. Emmanuel alianza elimu yake ya shule ya msingi katika shule ya msingi Kiwanja cha Ndege ambapo alisoma mpaka darasa la nne na kuhamia shule ya msingi Ipagala ambako alimalizia elimu yake ya msingi hapo mnamo mwaka 2000. Akiwa shule ya msingi Emmanuel kijana mdogo na mcheshi alijihusisha na masuala ya uchoraji, uimbaji na hata kucheza muziki ingawa alikua na ndoto za kuwa Muandishi wa habari. “mimi nilivutiwa saana na kazi za waaandishi wa habari na nikatamani sana siku moja niwe muandishi wa habari kama wao, japo nilikuwa pia natamani kuwa Mchungaji”. Alielezea kwa Emmanuel kwa kukumbuka. “Nkumbuka nikiwa na umri wa miaka nane, ilikuja bendi ya Afriso iliyokuwa chini ya Super Lovii Longomba, kaka wa Awilo Longomba, daah! Nilitunzwa hela nyingii na...
Wanaume wengi hawasemi, lakini mioyoni mwao wanathamini mambo haya zaidi kuliko urembo au umbo. Soma kwa makini๐๐ 1️⃣ Utulivu wa kiakili. Mwanaume anapenda mwanamke ambaye hana drama kila siku. Yule anayejua kutulia, kufikiri kabla ya kuongea, na kupunguza presha isiyo ya lazima. 2️⃣ Kuelewa na kuvumilia. Si kila siku mwanaume atakuwa sawa. Anapenda mwanamke anayemwelewa hata kimya chake, bila kulazimisha maneno. 3️⃣ Kumheshimu hadharani na faraghani. Heshima kwake ni kila kitu. Anapenda mwanamke anayempa heshima hata wakati wa hasira — hiyo humfanya ajisikie mwanaume kamili. 4️⃣ Uaminifu. Hata ukimpa upendo wa dunia nzima, bila uaminifu haoni thamani. Mwanaume anapenda kujua kuwa hata akiwa mbali, bado yuko salama moyoni mwako. 5️⃣ Moyo wa kumtia moyo. Wanaume wengi huficha maumivu yao. Wanapenda mwanamke anayewaambia, “Utaweza, nipo upande wako.” — maneno hayo yanajenga kuliko unavyofikiri. ๐ช 6️⃣ Mwanamke mwenye tabasamu la dhati. Tabasamu la kweli humtuliza mwan...
USIKUBALI KUWA CHAGUO LA PILI. Nisikilize mwanangu, usikubali kuwa chaguo la pili kwa Mwanamke. Nakupa Misingi ya Mwanaume kwa Mwanamke ๐ซ Brother, huyo Mwanamke unayepambana usiku na mchana awe wako lakini anachomoa, ipo siku atarudi. Huyo Mwanamke atarudi kwako ikiwa umri umeenda, kifua kikiwa kimelala, ashachokwa na wanaume, atakuja kukuuzia gazeti dakika za jioniiiiii kabisa, usikubali. Wanawake wakiwa katika kilele cha Urembo wao wanasimamia sana vigezo vyao, atasema hataki Mwanaume maskini, na ataruka na Tajiri. Atasimama na Misimamo yake, atakwambia hataki mwanaume mweupe na mwenye kitambi, na kweli atawaepuka kama ukoma. Bahati mbaya, kwa mwanaume mzinifu, walafi, suala la kuchagua Wanawake halina vigezo, hapo ndipo tunapofeli wanangu, ndipo Wanawake wanapotushinda, hivi tujiulize, ni nani atakataa akitongozwa na Mwanamke? Mwanamke kadri siku zinavyokwenda ndivyo Thamani yake inavyoshuka, Mwanaume ni kama Wine ๐ท kwani kadri muda unavyokwenda ndipo anazidi kuuzika. Adui ...
Vijana Mmemsikia Kaka Nape Nnauye? Ujumbe wa Nape Nnauye - Mbunge wa Jimbo la Mtama kwa vijana wanataka nini Tanzania amewataka Vijana kutojaribu kuitoa serikali madarakani kwani kufanya au kujaribu kufanya hivyo ni kosa kubwa kisheria ikiwemo kushtakiwa kwa uhaini. Akizungumza na Clouds fm Nape amesema ‘Ushauri wangu kwa vijana uzoefu na historia inaonesha duniani Kote mahali ambako zimetokea vurugu za kisiasa, waliochochea, waliohamasisha na walioanzisha sio waathirika wakubwa, Wao na watoto wao wako salama ila waathirika wakubwa ni wale walioenda kufanya’ Nape Nnauye ‘Wito wangu kama kaka mkubwa vijana wasihamasike kwenda kufanya ambalo hawajui matokeo yake, kubwa kuliko yote namna yoyote ya kujaribu kuitoa serikali iliyoko madarani,hata kumtoa rais aliyeoko madarakani kinyume cha katiba ni uhaini,ujue watu wanafanya kama masihala na adhabu yake ni ...
Comments