1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Mapacha watatu wa familia ya Richard Mwaikenda wamebarikiwa kwa kupata Kipaimara katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kivule, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Desemba 14, 2025.Watoto hao ni Catherine, Caren na Loveness. Zaidi ya watoto 40 walipata ubarikio huo ulioongozwa na Mchungaji Frank Kimambo ambaye pia Mkuu wa Jimbo la Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jimbo la Kati. Baada ya kufanikisha ibada hiyo ya ubarikio, Mchungaji Kimambo aliendesha sala fupi ya kubariki kiwanja kilichoteuliwa kanisani hapo kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Shule ya Watoto (Sunday School). Mwaikenda (aliyevaa kaunda suti ya bluu) akiwa na mapacha hao pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Catherine. Caren. Loveness. Catherine (Kulwa) akiwa na mdogo wake Lusajo akiiongoza familia kutoka nje ya kanisa. Mchungaji Frank Kimambo akiendesha sala wakati wa kulibariki eneo patakapojengwa jengo la watoto kanisani hapo. VETI VYAO
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa 20 nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA, leo Jumamosi 27 Desemba 2025 imetaja mikoa hiyo kuwa ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma, Katavi, Singida, Dodoma, Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Morogoro, Ruvuma, Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia. TMA imesema mvua hizo zinatarajiwa kunyesha Jumapili, 28 Desemba 2025, na huenda zikasababisha madhara mbalimbali ikiwamo mafuriko, maporomoko ya udongo na usumbufu wa shughuli za kiuchumi na kijamii. Wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyotajwa, hususan walioko mabondeni na maeneo hatarishi, wametakiwa kuchukua tahadhari za mapema ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua hizo. TMA imewasisitiza wananchi kuendelea kufuatilia taarifa na utabiri wa hali ya hewa unaotolewa mara kwa mara ili kupata taarifa sahihi na za wakati.
1 : Wanawake Wazuri Zaidi 📌Inahitaji roho takatifu tu kumfanya mwanamke mrembo awe ndani ya ndoa.Unaitaji Roho ya Samason katika eneo hili,Maana Mwanamke akiwa mzuri sana akili zake zinahamia kwenye uzuri wake,Anaamini atakuwa mzuri milele,Anaamini ya kwamba Yeye ni dhahabu nyinyi wengine viroboti,Huye acheki na wowote maana utaumiza wake moyo /Wanatafuta mwana mwenye pesa ili waendelee kuhudumia mwili wao,Mwanamke mzuri hawezi kuwa na mapenzi ya kweli labda kidogo sana kama amelelewa na kufunzwa vyema lakini Anaamini ya kwamba anapendwa na kila mtu na Wanawake Wazuri ukimkuta ana akili za kujitegemea basi unabahati Sana,Wanawake Wazuri huwa hawanaga akili timamu na ndiyo wanaongoza kwa kutumika sana,Wanachoka mapema maana wameugeuza mwili wao kuwa shamba La Marehemu,Kwa nje kapendeza lakini ndani ametumika balaa tupu wanapambana kutafuta mwanaume mwenye na ndivyo wanavyotumika maana Wanaume pia hawaoagi Wanawake Wazuri Ila Wanaume wanawapenda Wanawake Wazuri kwa matumizi tu lakini si...
"Mkifanikiwa kuipatia Nchi yetu katiba iliyo nzuri, Majina yenu yataandikwa kwa Wino wa dhahabu katika kumbukumbu za historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni matarajio ya Watanzania kuwa Mtatunga katiba itakayokubalika na Wengi” Jakaya Kikwete, Bunge la Katiba 21/03/2014 .
1 . Dar es Salaam- wastani wa 4.97 milioni kwa mtu kwa mwaka 2. Iringa- wastani wa 4.31m 3. Mbeya-3.99m 4. Ruvuma-3.6m 5. Kilimanjaro-3.59m 6. Arusha-3.5m 7. Njombe-3.4m 8. Lindi-3m 9. Tanga-2.98m 10. Mtwara-2.9m Credit: @jamiitalk
1. Linda nishati yako. Siyo kila mtu anastahili nafasi katika maisha yako. Wapo wanaoongea sana lakini hawajengi chochote, wanaochosha akili, mioyo, na matumaini. Tambua watu wanaokuchosha na jiondoe. Wema wako haumaanishi ukubali kuumia, kuchoka au kupoteza amani. Linda nguvu yako kama hazina, tumia kwa wanaoithamini. 2. Jifunze kuacha kimya kimya. Siyo kila safari inapaswa kutangazwa, sio kila hatua inahitaji shangwe. Kuna vitu, tabia, na watu wa kuwaachia kimya kimya bila ugomvi, bila maelezo marefu. Ukiona hakikujengi,ondoka. Maisha yanahitaji uamuzi wa ndani, si kelele za nje. 3. Fanya kazi kwenye ndoto zako bila kelele. Mipango yako si ya kila mtu. Wivu, maneno ya kukatisha tamaa, na nguvu mbaya hutokea unapozungumza kabla kutenda. Fanya kazi chini ya maji acha matokeo yaongee. Jenga ndoto zako taratibu, kwa umakini, na kwa bidii. Mafanikio halisi huja kimya lakini sauti yake huisikika mbali. 4. Jipe muda wa kupona. Kupona ni safari, si tukio. Unapopona unajisamehe, unafunga...
Golikipa wa Taifa stars Hussein_Masalanga amepewa zawadi ya picha yenye baadhi ya matukio ya mchezo na mashabiki wa Morocco ambao walipendezwa na kazi aliyoifanya katika mchezo wa 16 bora kati ya Tanzania dhidi ya Morocco.
Comments