1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
📶 Matokeo ya Klabu bingwa Africa Robo fainali katika hatua ya mkondo wa kwanza. ✅Mpaka hapo Simba peke ndiyo timu iliyoruhusu goli huku Al Ahly ndiyo timu pekee iliyopata Ushindi katika michuano hii mkondo wa kwanza ligi ya Mabingwa Africa .
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT-Taifa), Mary Chatanda (katikati) akiwa na Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda (kulia) pamona na Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wanawake kutoka mikoa 11 kwenye Ukumbi wa Kilimani jijini Dodoma Machi 25, 2024. Akizungumza katika mafunzo hayo amepata wasaa wa kuelezea mafanikio lukuki ya uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwemo ukamilishaji wa ujenzi wa Ikulu ya Dodoma, ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR, Daraja la Busisi Mwanza lililofikia asilimia 80, Bwawa la Mwalimu Nyerere, mradi wa mabasi ya mwendokasi (BRT) na mengine mengi. Chatanda akisisitiza jambo Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo akisema neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wake, Chatanda. Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Neema Majule akisema neno la ukaribisho mkoani humo kwa wajumbe wa mafunzo hayo. Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda akihutubia wakati wa mafunzo hayo. Baadhi y madi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakinywa maji ya bomba baada ya kuzindua mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakishiriki kufukia bomba la mji wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo alipowasili katika Shule ya Sekondari ya Njoro katika Jimbo la Same Magharibi ambapo alishiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa. wananchi wakiwa wamejipanga kumlaki Komredi Kinana katika Shule ya Sekond
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam. Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kumtakia heri kwenye majukumu hayo mapya, Mzee Makamba amemzawadia Balozi Dk. Nchimbi shati moja la sare ya Chama Cha Mapinduzi, ikiwa ni ishara ya kifaa cha kazi, ambapo Katibu Mkuu huyo wa CCM, alipokea pongezi na kumshukuru kwa zawadi hiyo. *****####*****
KILA GOLI MILIONI 1 📝📝📝 Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans Stephane Aziz Ki katoa Ahadi "Mchezaji yeyote atakae Funga Goli dhidi Mamelod Sundowns atapatiwa kiasi cha MILION 1 kutoka kwake. Pia kasema kwa upande wa Mabeki wakizuia vizuri bila kuruhusu goli watapatiwa MILION 1..! Sio Game ya Viongozi tu hata wachezaji wenyewe wanaitaji Mechi..!✅ Amesema Ally Kamwe Msemaji Wa Yanga #travellerwayanga #yangascupdates
" Sijawahi kufikiria kupaki basi, tunaamini mpira ni burudani inayoambatana na ushindi, mchezo wetu na Yanga hakuna kitachobadilika sana, isipokuwa mbinu ambayo inabaki kuwa siri yangu na wachezaji, jambo nzuri tuna ndugu zetu wengi sana Tanzania watakuja kutusapoti." Rulani Mokwena, Kocha Mkuu wa Mamelodi Sundowns
m Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema anawaheshimu na kuwakubali wanaCCM wa Pemba kwa misimamo yao thabiti katika kuilinda na kuitetea CCM, bila kuyumba. Dkt. Nchimbi pia amewapongeza kwa jinsi ambavyo wameendelea kuwa imara kuifanya Pemba kuwa mojawapo ya ngome za Chama Cha Mapinduzi nchini, akiwasisitiza wanaCCM kuendelea kuwa wamoja, chini ya Uongozi wa Mwenyekiti wa CCM, ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. SAMIA Suluhu Hassan. Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dk. Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi, Machi 23, 2024, alipokuwa akizungumza na baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM wa Pemba, waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume, Pemba, mara tu baada ya kuwasili uwanjani hapo, tayari kuanza ziara ya kikazi ya siku moja, katika Kisiwa cha Pemba. “Kati ya wanaCCM ninaowaheshimu na kuwakubali sana kwa jinsi wanavyoipenda CCM, wanavyoilinda, kuitetea na kuisemea ni wanaCCM wa Pemba. Asanteni sana k
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akihutubia wananchi waliomsimamisha wakiongozwa na Mbunge la Kwela, Deus Sangu katika Kijiji cha Chombe, mkoani Rukwa wakimuomba azipatie ufumbuzi kero zao za ukarabati wa shule, Kituo cha Afya n, miundombinu ya barabara na wakulima kupewa kibali cha kuuza mahindi yao nchi ya za jirani. Nchimbi ambaye msafara wake ulikuwa unatokea Sumbawanga Mjini kwenda Songwe,baada ya kusikiliza kilio chao hicho, aliwaagiza mawaziri wanaohusika na kero hizo kufanya jitihada za kuzipatia ufumbuzi ikiwemo Wizara ya Kilimo kutoa vibali vya kuuza mahindi katika nchi jirani na kuwaahidi kuwa mahindi hayo yatanunuliwa na serikali. Aliwasihi wakipewa vibali wasiuze mahindi yote wabakize kwa ajili ya chakula. Dkt. Nchimbi ambaye ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu ameanza ziara ya kikazi ya
Comments