1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
1 . Dar es Salaam- wastani wa 4.97 milioni kwa mtu kwa mwaka 2. Iringa- wastani wa 4.31m 3. Mbeya-3.99m 4. Ruvuma-3.6m 5. Kilimanjaro-3.59m 6. Arusha-3.5m 7. Njombe-3.4m 8. Lindi-3m 9. Tanga-2.98m 10. Mtwara-2.9m Credit: @jamiitalk
Kijana dereva wa bodaboda anayefahamika kwa jina la Brown Anthony ameibua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi baada ya kufanikiwa kusafiri kutoka jijini Mbeya hadi Dar es Salaam kwa kutumia pikipiki aina ya Boxer 150 HD yenye namba ya usajili MC 473 FKT, ndani ya saa 10, safari iliyoanzia kwenye ubishani wa kawaida na kuhitimishwa kwa ushindi wa kihistoria. Ubishani huo ulianza tarehe 14 Januari 2026 kati ya Brown Anthony na bodaboda mwenzake Alex Ndile, ambapo walitofautiana kuhusu uwezekano wa kufika Dar es Salaam kwa pikipiki ndani ya muda wa masaa 13. Baada ya majadiliano makali, walikubaliana kuyaweka madai yao katika makubaliano rasmi ya kisheria. Makubaliano hayo yaliwekwa mbele ya mwanasheria Ambakisye Kibona, ambapo kila mmoja alikuwa na pikipiki yake binafsi, na pande zote zilikubaliana kuwa atakayeshindwa atalazimika kumpa mshindi pikipiki yake kama dau la makubaliano hayo. Baada ya makubaliano kukamilika, Brown Anthony alianza safari yake rasmi tarehe 15 Januari saa 11:00 asu...
Golikipa wa Taifa stars Hussein_Masalanga amepewa zawadi ya picha yenye baadhi ya matukio ya mchezo na mashabiki wa Morocco ambao walipendezwa na kazi aliyoifanya katika mchezo wa 16 bora kati ya Tanzania dhidi ya Morocco.
Asante gwiji Yaya Touré, aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast! Ninaamini katika fair play, lakini sitakubali kamwe kudhulumiwa hadharani mbele ya dunia nzima. Nilivutiwa sana na mwitikio na uimara wa kisaikolojia wa Wasenegal jana: kuanzia benchi la ufundi, wachezaji hadi mashabiki—kila kitu kilikuwa sahihi kwa wakati muafaka. Hayo ndiyo maoni yangu. Sijali kabisa kinachoitwa fair play pale udhalimu unapojaribu kushinda na kuchafua urithi wangu. Sitakubali hilo, kamwe. Kama Senegal isingechukua hatua na kujibu kama walivyofanya jana, ingekuwa mwisho wao katika Kombe hili la Mataifa ya Afrika (AFCON). CAF na FIFA waadhibu waamuzi wote na hata soka ya Senegal maishani kote kama wanataka: nyota yao ya pili tayari iko mfukoni, na wameistahili kikamilifu. Hata jana, katikati ya mechi, wavulana wa kuokota mipira wa Morocco, pamoja na baadhi ya wachezaji wa Morocco waliokuwa benchi, walikuwa wakijaribu kumvuruga golikipa wa Senegal kwa kuchukua taulo yake, aliyohitaji kujifuta uso—h...
Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye, ametangaza zawadi kubwa kwa timu ya Taifa ya Senegal (Teranga Lions) pamoja na ujumbe wa taifa kufuatia ushindi wao wa AFCON. Kila mchezaji wa Teranga Lions: Faranga milioni 75 za CFA Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,500 Wajumbe wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Senegal: Faranga milioni 50 za CFA kila mmoja Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,000 kila mmoja Wajumbe wengine wa ujumbe wa taifa: Faranga milioni 20 za CFA kila mmoja Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 500 kila mmoja.
L🇷🇺 Majibu ya mtaalamu wa masuala ya kijeshi kutoka Urusi 🇷🇺 ANDRÉ MARTYANOV kuhusu vita 🎙 🛑 Kwa nini Marekani 🇺🇲 inaonekana kama kila mara inataka kuanzisha vita vya dunia? 👇🏿⁉️ 👉🏿 Jibu la André Martyanov: 🗣 “Marekani 🇺🇲 haijui maana halisi ya vita. Hakuna mtu yeyote nchini Marekani ambaye amewahi kupigana ili kuokoa familia yake wakati wa Vita Kuu, na hakuna askari wa Kimarekani aliyewahi kuona nyumba yake ikiteketea au watoto wake kuuawa kwa risasi na adui. Vita wanavyojua ni vile wanavyovipeleka kwa wengine, mbali na nchi yao.” 🤦♂️ 🌻 Anaongeza akisema: 🗣 “Tofauti kati ya Marekani na nchi kama Urusi 🇷🇺 au China 🇨🇳 ni kumbukumbu ya damu iliyomwagika. China ilipoteza mamilioni ya watu wakati wa vita dhidi ya Japan 🇯🇵, na Urusi pia ililipa gharama kubwa sana katika mapambano dhidi ya Wanazi. 😭 Hizi ndizo nchi zinazojua gharama ya vita halisi, na bado zina majeraha yake.” Lakini, kwa mujibu wake, Washington imejaa watu wanaotafuta maslahi yao binafsi tu, pamoja...
Timu ya taifa ya soka ya Senegal ilipokelewa kishujaa iliporejea nyumbani, huku maelfu ya mashabiki wenye furaha wakifurika barabarani kusherehekea ushindi wao wa AFCON. Kuanzia uwanja wa ndege hadi katikati ya jiji, wafuasi walipunga bendera, wakaimba nyimbo za kizalendo na kushangilia bila kukoma, wakitengeneza hali ya kipekee ya fahari ya kitaifa. Wachezaji na benchi la ufundi walionekana kuguswa sana na mapokezi makubwa yaliyojaa upendo na shukrani. Wengi walitenga muda kuwasalimu mashabiki, kupiga picha nao na kuwashukuru kwa sapoti yao isiyoyumba katika mashindano yote.
Marekani imeikamata meli ya mafuta ya Urusi iliyokuwa ikitokea nchini Venezuela, ukamataji huo umefanyika pamoja na Urusi awali kuitaka Marekani isifanye ukamataji huo, shirika la habari la Reuters limeripoti jioni hii Meli hiyo ya mafuta ya Urusi ilikua inasindikizwa na nyambizi ya kivita ya Urusi katika bahari ya Atlantiki, jeshi la Marekani limeikamata na kusema ilikua inajaribu kukwepa vikwazo vilivyowekwa na Marekani kwa meli zote kutoka Venezuela Ukamataji huu ni mvutano wa moja kwa moja kati ya wababe wa dunia Urusi na Marekani, Urusi ilitoa tamko rasmi kuitaka Marekani isiikamate meli yao ila Marekani kapuuza tamko hilo Jana rais wa Marekani alisema Marekani ina jeshi imara na lenye vifaa vya kisasa na silaha hatari kuliko mataifa yote ulimwenguni na hakuna taifa lolote duniani linaloikaribia Marekani hata kidogo kwa teknolojia na nguvu za kijeshi Je Urusi itajibu nini?... See more
Comments