Wanaume wengi hawasemi, lakini mioyoni mwao wanathamini mambo haya zaidi kuliko urembo au umbo. Soma kwa makiniππ 1️⃣ Utulivu wa kiakili. Mwanaume anapenda mwanamke ambaye hana drama kila siku. Yule anayejua kutulia, kufikiri kabla ya kuongea, na kupunguza presha isiyo ya lazima. 2️⃣ Kuelewa na kuvumilia. Si kila siku mwanaume atakuwa sawa. Anapenda mwanamke anayemwelewa hata kimya chake, bila kulazimisha maneno. 3️⃣ Kumheshimu hadharani na faraghani. Heshima kwake ni kila kitu. Anapenda mwanamke anayempa heshima hata wakati wa hasira — hiyo humfanya ajisikie mwanaume kamili. 4️⃣ Uaminifu. Hata ukimpa upendo wa dunia nzima, bila uaminifu haoni thamani. Mwanaume anapenda kujua kuwa hata akiwa mbali, bado yuko salama moyoni mwako. 5️⃣ Moyo wa kumtia moyo. Wanaume wengi huficha maumivu yao. Wanapenda mwanamke anayewaambia, “Utaweza, nipo upande wako.” — maneno hayo yanajenga kuliko unavyofikiri. πͺ 6️⃣ Mwanamke mwenye tabasamu la dhati. Tabasamu la kweli humtuliza mwan...
Wabunge wateule waliochukua fomu ya kugombea Uspika/Unaibu SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi sasa. 1. Tulia Ackson 2. Profesa Palamagamba Kabudi 3. William Lukuvi 4. George Simbachawene 5. Mussa Azzan Zungu 6. Najma Murtaz a
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amemteua mbunge wa Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir kuwa Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia. Swali; Wanu ni nani? Kwa nini yeye nafasi ya Naibu Waziri wa Elimu? Jibu la kwanza ni hili; Wanu ni championi wa elimu. Jibu la pili; Wanu ni shujaa wa nishati safi ya kupikia. Wanu ni mwanasheria msomi. Kijamii ni Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF). Taasisi hiyo, imejikita katika kuwajenga na kuboresha maisha ya wanawake, vijana na watoto, kuanzia kwenye afya, elimu na uchumi. Shabaha kubwa ya MIF ni kushughulikia matatizo ya kijamii ndani ya Zanzibar na Tanzania kwa jumla, kupitia utekelezaji wa mikakati ya kiulimwengu. Madhumuni mama ya MIF ni kuzijengea uwezo jamii za Tanzania, kwa kuboresha elimu, kustawisha afya, kuchochea maendeleo ya kiuchumi, ili kuukabili na kuushinda umaskini, ujinga na maradhi, kupitia uongozi na juhudi za pamoja. Jimbo la Makunduchi, Zan...
1. TENDO LA NDOA NI JAMBO LA ASILI Tendo la ndoa ni kazi ya kibayolojia iliyoundwa kwa ajili ya uzazi, urafiki, uhusiano na furaha. Ni sehemu ya asili ya maisha ya mwanadamu yeyote. 2 TENDO LA NDOA NI TAMU LINAPOFANYIKA KWA RAHA NA KAMA CHOMBO CHA STAREHE Raha ya tendo la ndoa iko katika uhusiano wa kihisia, msisimko wa kimwili, na utulivu. Wapenzi wote wawili wanapostarehe na kushikamana, tendo linakuwa la kufurahisha sana na lenye utamu. 3 SAIKOLOJIA YA TENDO LA NDOA Hali ya akili ya mtu inaweza kufanya au kuvunja uzoefu waKE wakati wa tendo. Wasiwasi, kujihisi, au kukalili kitu au jambo unaweza kuhamisha mawzo na fikra zake wakati wa tendo. 4 USHIRIKIANO WA KIMAPENZI NI NI MHIMU KIHALISIA Watu wawili wanaweza kupendana lakini bado hawatalingana kimapenzi. Mawasiliano na wakati mwingine ni vizuri kufanya majaribio hii husaidia kutatua tatizo kama hili. 5. ROMANCE/KUANDAANA NI KITU MHIMU SANA NA NDIYO KINACHOLETA RAHA SANA Kubusu, kugusa, na kutaniana kabla ya tendo lenyewe husaidia k...
Taarifa kwa umma kuhusu kukamilika kwa zoezi la uteuzi wa wagombea wa nafasi ya Spika 1.0 zoezi la Uteuzi wa Wagombea wa Uchaguzi wa Spika limekamilika tarehe 10 Novemba, 2025 saa 10:00 Alasiri. Napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha yale yaliyotokana na zoezi hili na mchakato mzima toka tulipoanza, tulipo na tunapoelekea. 2.0 Uchaguzi wa Spika unafanywa kwa mujibu wa lbara ya 86 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, Kanuni ya 9 na Nyongeza ya Kwanza ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2025. 3.0 ili kukidhi matakwa hayo, tarehe 4 Novemba, 2025 nilitoa Tangazo namba 14824A katika Gazeti la Serikali Toleo Maalum Namba 11 kuvijulisha vyama vya siasa vyenye usajili w a kudumu vinavyokusudia kusimamisha mgombea katika uchaguzi huo Kufanya Mchakato na kuwasilisha jina la mgombea husika ofisini kwa Katibu wa Bunge Dodoma kabla ya saa 10.00 jioni ya tarehe 10 Novemba, 2025 ambayo ndio siku ya uteuzi 4.0 Hadi kufikia saa 10:00 Alasiri leo tarehe 10 Novemba, 2025 Wag...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza Baraza la Mawaziri huku wakiwekwa kando baadhi ya mawaziri waliokuwamo kwenye baraza lililopita. Walioachwa ni :- 1. Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko. 2. Hussein Bashe, Alikuwa Waziri wa Kilimo 3. Innocent Bashungwa, Alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani 4. Jenista Mhagama, Alikuwa Waziri wa Afya 5. Dk Seleman Jafo, Alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara 6. Dk Pindi Chana, Alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii 7. Dkt Damas Ndumbaro, Alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Nani hapa amekuuma zaidi kwa walioachwa. #LemutuzUpdates
Emmanuel Mathias almaarufu kama Mc Pilipili mwenye uso wa uchekeshaji kama kazi yake ilivyo, alizaliwa mtaa wa Airport Dodoma mjini mnamo tarehe 1 mwezi wa 10 mwaka 1985 akiwa ni mtoto wa pili wa Bwana Mathias Matebe na Bi Mariam Matebe. Emmanuel alianza elimu yake ya shule ya msingi katika shule ya msingi Kiwanja cha Ndege ambapo alisoma mpaka darasa la nne na kuhamia shule ya msingi Ipagala ambako alimalizia elimu yake ya msingi hapo mnamo mwaka 2000. Akiwa shule ya msingi Emmanuel kijana mdogo na mcheshi alijihusisha na masuala ya uchoraji, uimbaji na hata kucheza muziki ingawa alikua na ndoto za kuwa Muandishi wa habari. “mimi nilivutiwa saana na kazi za waaandishi wa habari na nikatamani sana siku moja niwe muandishi wa habari kama wao, japo nilikuwa pia natamani kuwa Mchungaji”. Alielezea kwa Emmanuel kwa kukumbuka. “Nkumbuka nikiwa na umri wa miaka nane, ilikuja bendi ya Afriso iliyokuwa chini ya Super Lovii Longomba, kaka wa Awilo Longomba, daah! Nilitunzwa hela nyingii na...
Comments