Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akionyesha mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi miklioni 10, baada ya kukabidhiwa na Mkuerugenzi wa Masoko na maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta, (TPB), Deo Kwiyuka, mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. Fedha hizo ni ufadhili wa benki kwenye mchaparo ulioandaliwa na PSPF, kwa wanachama na wadau wa PSPF waliohudhuria mkutano mkuu wan ne wa Mfuko huo mjini humo.
Mdau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Selemani Mvunye, akichangia wakati wa mjadala wa ujasiriamali uliowasilishwa na mtoa mada mwishoni mwa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa bodi ya usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini, (SSRA), Ally Muhimbi akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, mwishoni mwa mkutano mkuu wan ne wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akipiokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta Tanzania, (TPB), kwenye hafla ya mchaparo iliyoandaliwa maalum kwa wajumbe na wadau wa mkutano mkuu wa nne wa PSPF mjini Dodoma juzi. Fedha hizo zlikuwa ni ufadhili wa hafla hiyo.
Afisa Matekelezoi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Prisca Ngowi, (katikati), akiteta jambo na wazee nhawa wastaafu na wanachama wa Mfuko huo, Emmanuel Ilani, maarufu kama "Kindani", (kushoto) na Simon Lemwayi, wakayi wa hafla ya mchaparo iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa wanachama na wadau walioshiriki mkutano mkuu wa nne wa PSPF mjini Dodoma juzi
Mdau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Selemani Mvunye, akichangia wakati wa mjadala wa ujasiriamali uliowasilishwa na mtoa mada mwishoni mwa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa bodi ya usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini, (SSRA), Ally Muhimbi akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, mwishoni mwa mkutano mkuu wan ne wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akipiokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta Tanzania, (TPB), kwenye hafla ya mchaparo iliyoandaliwa maalum kwa wajumbe na wadau wa mkutano mkuu wa nne wa PSPF mjini Dodoma juzi. Fedha hizo zlikuwa ni ufadhili wa hafla hiyo.
Afisa Matekelezoi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Prisca Ngowi, (katikati), akiteta jambo na wazee nhawa wastaafu na wanachama wa Mfuko huo, Emmanuel Ilani, maarufu kama "Kindani", (kushoto) na Simon Lemwayi, wakayi wa hafla ya mchaparo iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa wanachama na wadau walioshiriki mkutano mkuu wa nne wa PSPF mjini Dodoma juzi
Comments