MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasha mshumaa baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere, Mwitongo, Butiama mkoani Mara leo.
 Mama Samia akishiriki kuomba dua kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere, kijiji cha Mwitongo, Butiama mkoani Mara.
Mama Samia akiondoka baada ya kuzuru kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. Butiama mkoani Mara. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA