MAADHIMISHO YA MAY DAY DODOMA

Tazama vikundi mbalimbali vya ngoma za asili vikitumbuiza kwenye sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi mkoani Dodoma https://youtu.be/La06nPXwYnI

Rais Magufuli akiwa anaingia uwanjani mjini Dodoma tayari kwa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani;https://youtu.be/gpbwkY9yA0Y  

Waziri anayeshughulikia masuala ya ajira Jenista Mhagama akitoa salamu zake kwa wageni na wananchi mkoani Dodoma kwenye Kilele cha maadhimisho ya mei mosi; https://youtu.be/deM3lUA3W1A

Rais Magufuli, Wageni waalikwa na wananchi kwa ujumla waliohudhuria maadhimisho ya mei mosi wakiimba wimbowa taifa ukifuatiwa na utambulisho kwa wageni mashuhuri; https://youtu.be/Q1AUAQcDw2k

Rais Magufuli amesema idadi ya watumishi na madeni hewa yanavyozidi kuongezeka nchini yanamsikitisha sana na wakati mwingine anajutia hata kwanini aliomba urais; https://youtu.be/FmM-TGwDZ4Q

Washindi mbalimbali wa vikundi vya michezo wakipokea zawadi zao mbele ya mgeni rasmi Rais Magufuli;https://youtu.be/-hmoNX-j9wg

Tazama burudani kutoka kwa wagogo wakitumbuiza kwenye maadhimisho ya mei mosi mkoani Dodoma;https://youtu.be/-gqxO7N2XDM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA