MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI PAPUA NEW GUINEA KUMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI

papu1Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Belize Bw. Wilfered Eliringron wakati  Makamu wa Rais alipowasili katika Hoteli ya Airways mjini Papua New Guinea. Makamu wa Rais yupo Nchini Papur New Guinea kwa ajili ya kumwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano wa siku mbili unaotarajiwa kuanza kesho utakaojadili masuala ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya Wananchi wa Nchi wanachama kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika Utawala Bora na Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.  Mkutano huo utahudhuriwa na Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (ACP).
papu2Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwandaaji Mkuu wa mkutano wa The HL MEETING UN WOMEN unaotarajiwa kufanyika keshokutwa mjini Guinea,  Makamu wa Rais yupo Nchini Papur New Guinea kwa ajili ya kumwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano wa siku mbili unaotarajiwa kuanza kesho utakaojadili masuala ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya Wananchi wa Nchi wanachama kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika Utawala Bora na Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.  Mkutano huo utahudhuriwa na Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (ACP). (Picha na OMR Papua New Guinea)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA