MANDHARI ZA KUVUTIA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE


Miti ya Mibuyu iliyochimbwa na Tembo ni moja vivutio katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Uoto wa asili katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ni kivuto kingine.
Mkundi ya Tembo ni sehemu pia ya vivutio vinavyo ibeba Hifadhi ya Taifa ya Tarangire,
Ndege wa aina mbalimbali pia wanaweka mvuto katika Hifadhi hiyo
Mnyama Ngiri ni miongoni mwa wanayama wanaoonekana kwa urahisi katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Muonekano wa Mibuyu iliyochimbwa na Tembo.
Tumbili pia wamo.
Sehemu ya Chanzo cha Mto Tarangire.
Mnyama Kuro pia ni kivutio kimoja wapo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Kundi la Tembo likivuka mmoja wa mito iliyopo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Maandhari ya uoto wa asili unavyoonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

DKT NCHIMBI AAGIZA UJENZI UWANJA WA NDEGE SUMBAWANGA UKAMILIKE HARAKA