Kamusi ya kiswahili sasa imo kwenye mtandao.


Mambo sasa ni ya kidijitali na mtandaoni tu. Hata ukitaka kutafuta neno lolote la kiswahili hauna haja ya kuangalia kwenye kitabu. Kamusi ya kiswahili sasa imo kwenye mtandao.
Shirika la uchapishaji la Oxford University Press imezindua kamusi hii ya kiswahili kama njia moja wapo ya kukienzi kiswahili.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA