MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHADEMA


MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo uliofanyika Mkoani Dodoma Mei 27,2017. 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Vincent Mashinji akizungumza 
Meza kuu 
Mwenyekiti wa CHADEM, Freeman Mbowe akisoma taarifa za chama. 
Picha zote na Mroki Mroki. 
Wajumbe wa Baraza Kuu wakiwa katika Mkutano huo mjini Dodoma 

Wimbo wa Taifa uliimbwa 
Dua ilifanyika kabla ya kuanza mkutano huo. 
Wajumbe wakiwa mkutanoni 
Wajumbe ambao ni Wabunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Dodoma, Dk Immaculate Sware (kushoto) na Devotha Minja wa Morogoro. 

Wajumbe wakifuatilia mkutano huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

DKT NCHIMBI AAGIZA UJENZI UWANJA WA NDEGE SUMBAWANGA UKAMILIKE HARAKA