Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer (kulia) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (MKIKITA), Adam Ngamange wakiangalia papai katika shamba la mmoja wa wanachama wa Mtandao huo, Kigamboni, Dar es Salaam. Wafanyabiashara hao wameahidi kuitafutia Mkikita masoko zaidi ya zao hilo na mengineyo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0715264202,0689425467
Mfanyabiashara Akut kutoka Kampuni ya Anadolu Motor ya Uturuki, akisalimianana msimamizi wa shamba la papai baada ya kuwasili kuangalia shamba hilo.
Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer akirekodi video shamba hilo kwa kutumia simu.
Mlezi wa Mtikita, Dk. Prince Bagenda (wa pili kushoto) akiwaonesha wafanyabiashara hao papai linalokaribia kuiva. Wafanyabiashara hao wameahidi kutafuta masoko ya zao hilo Uturuki
Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer akiangalia shamba hilo
Mlezi wa Mkikita, Bagenda (kulia), akizungumza na ugeni huo
Akuti akiangalia shamba hilo
Sehemu ya shamba hilo
Wafanyabiashara hao kutoka Uturuki wakiangalia shamba hilo
Ngamange akizungumza jambo na ugeni huo mara baada ya kurea hotelini Ramada. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui.
Wageni wakiagana na wenyeji wao
Mfanyabiashara Akut kutoka Kampuni ya Anadolu Motor ya Uturuki, akisalimianana msimamizi wa shamba la papai baada ya kuwasili kuangalia shamba hilo.
Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer akirekodi video shamba hilo kwa kutumia simu.
Mlezi wa Mkikita, Bagenda (kulia), akizungumza na ugeni huo
Akuti akiangalia shamba hilo
Sehemu ya shamba hilo
Ngamange akizungumza jambo na ugeni huo mara baada ya kurea hotelini Ramada. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui.
Wageni wakiagana na wenyeji wao
Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui
Comments