WAFANYABIASHARA WA UTURUKI WATEMBELEA SHAMBA LA PAPAI LA MWANACHAMA WA MKIKITA KIGAMBONI

 Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer (kulia) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (MKIKITA), Adam Ngamange wakiangalia papai katika shamba la mmoja wa wanachama wa  Mtandao huo, Kigamboni, Dar es Salaam. Wafanyabiashara hao wameahidi kuitafutia Mkikita masoko zaidi ya zao hilo na mengineyo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0715264202,0689425467
 Mfanyabiashara Akut kutoka Kampuni ya Anadolu Motor ya Uturuki,  akisalimianana msimamizi wa shamba la papai baada ya kuwasili kuangalia shamba hilo.
 Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer akirekodi video shamba hilo kwa kutumia simu.

 Mlezi wa Mtikita, Dk. Prince Bagenda (wa pili kushoto) akiwaonesha wafanyabiashara hao papai linalokaribia kuiva. Wafanyabiashara hao wameahidi kutafuta masoko ya zao hilo Uturuki

  Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer  akiangalia shamba hilo

 Mlezi wa Mkikita, Bagenda (kulia), akizungumza na ugeni huo
 Akuti akiangalia shamba hilo

 Sehemu ya shamba hilo
 
 Wafanyabiashara hao kutoka Uturuki wakiangalia shamba hilo
 Ngamange akizungumza jambo na ugeni huo mara baada ya kurea hotelini Ramada. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui.
 Wageni wakiagana na wenyeji wao
 Meneja Masoko wa Vipuri wa Kampuni ya Mitambo ya Kilimo, Anadolu Motor, Ferruh Bicer  akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Mkikita, Dk. Kissui



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA