Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Ndg Mary Chatanda (MCC) akiwa na Viongozi wa UWT Taifa wameshiriki sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan.
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee
Comments