Siku Hazigandi Muda umefika. Ni zame ya Msoga Half Marathon . Karibuni sana Msoga tuunge mkono hatua hii kubwa ya kupigania Afya ya Uzazi kwa kuchangia kubotesha huduma za Afya kwa Wakina mamana Watoto. Tarehe 29 Mwezi huu wa 6 Mwaka 2024. Mahali ni Msoga, ilipo Hospitali ya Wilaya na alipozaliwa Mzee wetu Jakaya kikwete. Sio tukio la kukosa. Tunatanguliza shukrani kwa wote waliojitoa kuchangia jambo hili. Malengo ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kunaliza au kupunguza vifo vya Wakina mama na Watoto. Tunawashukuru wadau wote tena . #SwaliNiniUmeifanyiaJamiiYako! #KaziInaendelea #MsogaMarathon
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments