YANGA KUNUFAIKA NA USAJILI WA MAYELE ASTON VILLA


 ๐Ÿ’ฅ BREAKING NEWS 


"Taarifa kutoka Misri ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ zinaelezwa kuwa klabu ya Aston Villa ameanza mazungumzo na klabu ya Pyramids kwaajili ya kumsajili mshambuliaji wao hatari Fiston Kalala Mayele katika dirisha hili la Usajili."


"Mayele ambae ni kinara wa magoli katika ligi hiyo ya misri akiwa na Magoli 12 kwa upande wake yupo tayari kujiunga na klabu hiyo na anatazamiwa kujiunga na klabu hiyo endapo wakifikiana makubaliano na Yanga pia watapata mgao wao kulingana na mikataba waliyosaini alipo sajiliwa Pyramids."

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA