MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA


 Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa jana kwa klabu ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.


Kupitia mtandao wa X zamani (Twitter) Rais wa Chama cha WanaSheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi ametoa neno.


"Hata kama Simba imezuiwa kucheza ilitakiwa ieleze imechukua hatua gani za kiuongozi kuwasiliana na wahusika baada ya kupuuzwa kwa maelekezo ya Kamishna wa Mchezo.


"Huwezi toa tamko kwa umma halafu unaacha maelezo ya msingi na kuishia kusema haki imehifadhiwa ? Ni kukosa umakini je ninyi kama club mumechukua hatua zipi za kusisitiza haki zenu katika kuitaarifu Bodi ya Ligi? au TFF?"

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA