WANAFUNZI SHULE YA BUNGE WATINGA BUNGENI KUSIKILIZA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU

Wanafunzi wa Shule ya Wasichana ya Sekondari ya Bunge iliyopo Kikombo mkoani Dodoma wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Habari wa Bunge, Patson Sobha kuhusu taratibu za bunge walipotembelea bunge hilo wakati wa majadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Mei 12, 2025.

Shule hii ilijengwa kwa msaada wa michango ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.






 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA