๐˜๐€๐๐†๐€ ๐Š๐”๐“๐”๐Œ๐ˆ๐€ 35 ๐๐ˆ๐‹๐‹๐ˆ๐Ž๐ ๐Œ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐”๐‰๐€๐Ž

Uongozi wa mabingwa wa nchi Yanga upo mbioni kuomba ridhaa kutoka kwa wanachama wao kuelekea mkutano mkuu wa mwaka kwa kuongeza bajeti ya uendeshaji kutoka 24.5 BILLION ya msimu huu 2024-2025 ,Hadi kufikia 35.25 BILLION,kwa msimu 2025-2026.


Ongezeko la bajeti hii mpya imelenga kwenye mambo makuu;

-Ujenzi wa Uwanja(Awamu ya kwanza)AGENDA KUU.
-Usajili wa wanachama na mashabiki wa Yanga SC.
-Usajili wa Wachezaji wapya na kuboresha maslahi kwa Wachezaji ambao wanakwenda kuongezewa mikataba mipya.
-Safari za ndani na nje.
-Kambi ndani ya nchi na nje ya nchi(Pre season)
-Uzinduzi wa project mpya ya mabadiliko kwa phase namba Tatu(INVESTMENTS).

#TimuYaWananchi #BajetiMpya



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI