𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗠𝗘𝗪𝗔𝗝𝗘𝗡𝗚𝗘𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗪𝗔𝗞𝗘 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗔𝗠𝗜𝗡𝗜 𝘼𝙢𝙚𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖 𝙆𝙖𝙩𝙞𝙗𝙪 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝙢𝙨𝙩𝙖𝙖𝙛𝙪 𝙬𝙖 𝘾𝘾𝙈, 𝘿𝙠𝙩. 𝘽𝙖𝙨𝙝𝙞𝙧𝙪 𝘼𝙡𝙡𝙮 "Kwa muda mrefu katika historia ya siasa Duniani kote, nafasi ya mwanamke imekuwa nafasi ya pili kanakwamba utu wake ni nusu..duniani kote ajenda ya kuweka usawa kwa wanaume na wanawake imekuwa mfupa mgumu.." "..CCM kwasababu ya msimamo wetu wa kifalsafa na kiitikadi, usawa wa wanaume na wanawake si suala la hiari ni saula la lazima.." "..katika uongozi wako Rais Dkt. Samia...kitakwimu katika kipindi ulichoingia kama Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama (CCM) , kitakwimu angalieni maamuzi, sera, miradi na namna utekelezaji wake ulivyoinua hali za akina Mama.." Dkt. Bashiru ameyasema hayo leo tarehe 9 Septemba 2025 wakati akizungumza na maelfu ya Wananchi wa Singida Mjini waliojitokeza katika uwanja wa Bombadia kumlaki na kumsikiliza Mgombea...
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA
*1. Usiweke Akiba Mwishoni Weka Mwanzoni* Watu wengi wanasubiri walipwe mishahara au kupata faida ndipo waanze “kuona kama kimebaki” ili waweke akiba. Hii ni kosa.. Weka akiba mara tu unapopokea kipato (10%–20% ya mapato yako). *2.Usitumie Pesa Yote Jifunze Kuishi Chini ya Kipato* Ukiwa na kipato cha 1M, usipange matumizi ya 1M. Panga matumizi ya 700k–800k. Unapojilazimisha kuishi chini ya kipato chako, unajilinda dhidi ya dharura na kuacha nafasi ya kuwekeza. *3.Kuwa na Vyanzo Zaidi ya Kimoja cha Mapato* Hata ukiwa na kazi nzuri, biashara ndogo au uwekezaji mdogo ni ngao ya kifedha. Mfano: Mwalimu mwenye mshahara anaweza kuwa na shamba la nyanya au kuuza mtandaoni. *4.Epuka Madeni Mabaya* Kuna madeni mazuri (yanayokuongezea kipato, kama mkopo wa mashine ya biashara) na mabaya (kukopa kwenda kwenye sherehe au kununua simu ya anasa) Deni baya ndilo chanzo kikuu cha watu kuishiwa pesa kila wakati *5.Wekeza Badala ya Kuweka tu Akiba* Akiba inalinda lakin...
DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO
Karibu Mkuu wa CCM, Dkt. Asha Rose Migiro akiungana na vijana wa CCM katika amsha amsha katika mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan mjini Makambo Njombe asubuhi hii ya Septemba 6, 2025. BAADA ya kumaliza Kampeni katika Mikoa wa Njombe,leo anaingia mkoani Iringa.
WAGONBEA UBUNGE WALIOTEULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM HAWA HAPA
MTOKO MPYA WA YANGA HUU HAPA
NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE
Alhamdulillah ala kulli hal Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa moyo wa shukrani. Quran Tukufu inatufundisha kuwa Allah ndie mpangaji na ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH Ndugu zangu wanaTanga Mjini, nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuniamini kuwa Mbunge wenu kwa kipindi cha miaka 5 (2020 - 2025) Nafurahi kuona kuwa utumishi wangu kwenu umewagusa wengi na umeacha alama kubwa za kimaendeleo katika Jimbo letu. Asanteni kwa ushirikiano mzuri mlionipatia ktk kipindi chote cha Utumishi wangu. Kwa dhati ya moyo wangu, ninawashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu maalum wa CCM Wilaya ya Tanga kwa kunipa kura nyingi ktk mchakato wa kura za maoni za kutafuta mgombea ubunge wa CCM katika Jimbo letu Tanga Mjini kwa kipindi cha 2025 - 2030. Mlinikopesha imani kubwa sana Nitaienzi na kuithamini imani hii daima. UAMUZI wa vikao vya Chama ni lazima UHESHIMIWE. Nampongeza Ndugu Kassim Amar Mbaraka (Makubel) kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM Tanga Mjini. Ninawaomba wanakimji wen...
LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE
BAADA ya uzinduzi wa kampeni kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam, leo Mgombea wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan anaingia kwa kishindo mkoa wa tatu wa Songwe akitokea Morogoro na Dodoma. Asubuhi hii kitimtim kitakuwa katika Mji wa mpakani na Zambia wa Tunduma na baadaye mchana kivumbi kitahamia katika makao makuu ya Wilaya ya Mbozi Vwawa. Akiwa katika mikutano hiyo, Dkt. Samia atajinadi kwa kuelezea mafanikio makubwa ya maendeleo aliyoufanyia mkoa huo mchanga au kitinda mimba lakini vilevile kutoa ahadi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali. Pamoja na kuelezea kwa ndani Ilani ya uchaguzi ya chama hicho, Dkt. Samia ambaye mgombea wake mwenza ni Dkt. John Nchimbi, atatumia fursa hiyo kuwanadi wagombea ubunge na madiwani wa chama hicho. Baadhi ya miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na itakayotekelezwa katika mkoa huo ni kama ifutavyo; 1.Ujenzi wa barabara kuu ya Tanzam Kwa njia...
WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI
1. Ummy Mwalimu - Tanga. 2. Stanslaus Mabula - Nyamagana 3. Shaban Mrutu - Tabora Mjini 4. Malecela - Dodoma. 5. Luqman Merhab - Mufindi Kastazini 6. Kirumbe Ng' enda - Kigoma. 7. Alexander Mnyeti - Misungwi 8. Prof Edwinius Lyalya - Magu. 9. Robert Maboto - Bunda. 10. Fredrick Lowassa - Monduli. 11. Munde Tambwe - Sikonge
KILUNBE NG'ENDA ATEULIWA KUWA NAIBU KATIBU MKUU JUMUIYA YA WAZAZI CCM
CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-
"Miaka 12 iliyopita nilipata fursa ya kujifunza diplomasia na ustahimilivu kupitia aliyekuwa Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa [SUKI] Dr. AshaRose Migiro. Alinitaka muda wote kutenda kwa kuandaa maandiko na kuyasaili kisha ndipo nitende. Shule ile ilinikaa na kunifanya muda wote nikikutana naye hata baada ya kuhama ofisi moja na nyingine nimkumbuke kama mwalimu imara. Miaka imeenda na siku zikasonga mbele." "Leo ameaminiwa kushika nafasi ya juu ya utendaji ya CCM. Nafasi ambayo nami nilishaitumikia kabla ya mtangulizi wake. Hakika nimefurahi kuona Mwalimu akikabidhiwa darasa kufundisha. Kazi muhimu ni wanafunzi kubeba utayari. Karibu tena nyumban SG mpya." "Sisi tupo tayari kutumwa. Picha hii ni kumbukumbu ya mimi na SG mpya katika mkutano Mkuu uliopita." #KaziNaUtuTunasongaMbele #NaendeleaKujifunza
Comments