DKT. MIGIRO AFUNGUA JUKWAA LA WANAWAKE 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi, Dkt. Asha-Rose Migiro amefungua Jukwaa la Wanawake 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC), lenye kauli mbiu 'Mama ni Amani’, leo Alhamisi, tarehe 4 Desemba 2025, jijini Dodoma. 


Jukwaa hilo lililowakutanisha wanawake walioko kwenye makundi ya kijamii kutoka maeneo mbalimbali nchi nzima, pia lilihudhuriwa na viongozi wa dini pamoja na wageni wengine waalikwa, lengo likiwa ni kuzungumzia mchango wa wanawake katika kudumisha tunu zinazojenga misingi ya taifa na kuimarisha nchi yetu.





Sehemu ya wananchi waliohudhuria kongamano hilo.




Mgeni Rasmi akiwa katika picha ya pamoja waliotoa mada katika kigamano hilo.
Balozi Migiro akizungumza jambo na Balozi Christopher Liundi aliyetoa mada kuhusu Tanzania ya Tabasamu.

Balozi Migiro akisalimiana na Spika mstaafu, Dkt. Tulia Ackson.
Baadhi ya viongozi wa Dini waliohudhuria kongamano hilo.

Baadhi ya wabunge waliohudhuria kongamano hilo.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI