ASKOFU CHANDE AOMBA MUNGU ALISAIDIE TAIFA

 Askofu Mkuu wa Makanisa ya KarmelI Assembilies of God (KAG) Tanzania,Dkt. Evance Chande akiliombea Taifa amani na utulivu katika katika ibada maalumu ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2026 katika Kanisa la KAG Ipagala jijini Dodoma Januari Mosi, 2026. Katika Ibada hiyo aliwaombea pia vijana, Wakulima, Wafanyabiashara, Wafanyakazi,Wanafunzi, Watoto na Watanzania wote kwa ujumla.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye