CHATANDA AMFARIJI M/KITI WA UWT MKOA WA IRINGA KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MDOGO.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ashiriki Mazishi ya Maria Peter Mgongolwa ambaye ni Mama Mdogo wa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Iringa, Ndg. Zainab Mwamwindi aliyefariki Dunia tarehe 31 Disemba, 2025, na kuzikwa   Januari 3, 2026, katika Kijiji cha Ulanda Mkoani Iringa.


Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe, Amen.









 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA