KOCHA WA SENEGAL AFUNGIWA MECHI 6

…licha ya kuomba radhi, Kocha wa timu ya taifa ya Senegal 🇸🇳, Pape Thiaw, amefungiwa mechi 6 na shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kosa la kuwataka wachezaji wake waondoke uwanjani, baada ya refa kutoa penalty kwa timu ya Morocco 🇲🇦, katika dakika za mwisho za fainali ya AFCON 2025…

Mbali na Kocha kufungiwa, timu ya Senegal 🇸🇳, Mabingwa wa Afrika, watakatwa alama 9, katika mechi zao zijazo za kufuzu AFCON 2027…

Kuna uwezekano mkubwa tusiwaone mabingwa watetezi, Tanzania 🇹🇿- Kenya 🇰🇪- Uganda 🇺🇬 2027… 🙊



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR