TAASISI YA MOI IMEJIANDAA KISAWASAWA KUTOA HUDUMA ZA TIBA MICHUANO YA AFCON 2027

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya akielezea jinsi Taasisi hiyo ilvyojiandaa kutoa huduma ya tiba katika michuano ya AFCON itakayofanyika mwakani katika Nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.


Ameyasema hayo alipokuwa akielezea mbele ya vyombo vya habari jijini Dodoma leo, kuhusu mafanikio lukuki ya Taasisi hiyo yaliyopatikana wakati Awamu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Dkt. Samia Suluhu Hassan. 

Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa katika mkutano huo.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

PUNGUZA STRESS....