MATUKIO YA MBUNGE MWALUNENGE BUNGENI DODOMA


Mbunge wa Mbeya Mjini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Patrick Mwalunenge (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya wakuu wa mikoa waliohudhuria kikao cha wabunge kujadili makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma mwanzoni mwa wiki. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi  Macha na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule.


Akioneshwa jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule walipokuwa wakitoa bungeni wakati wa mapumziko.

Mwalunenga (wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa.

Mwalunenge akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima. Katikati ni Mbunge wa Morogoro Kusini, Zubery Mfaume.
Patrick Mwalunenge akiiomba serikali kuuruhusu mkoa huo kukopa fedha za kujenga Km 100 za Jiji la Mbeya na kwamba uwezo wa kulipa deni hilo wanao. bungeni Dodoma Aprili 14, 2026. Pia Mwalunenge ameiomba serikali kuupatia mkoa huo fedha zitakazosaidia kukarabati masoko mbalimbali ya Jiji hilo ambayo yamechakaa. Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya Waziri Mkuu.

Mwalunenge akiwa kwenye viwanja vya Bunge Dodoma wakati wa mapumziko ya mchana.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA