🟩🟨⬛MWANANCHI! TUNAJUA UNAJUA ila tunakukumbusha tu vyeo vitano vizito vya Eng. Hersi Said (@caamil_88). Fuatilia kwa umakini tafadhali...
1️⃣Rais wa Klabu Kubwa Afrika Mashariki, Young Africans
2️⃣Mjumbe wa kamati tendaji ya Shirikisho la mpira wa Miguu Afrika - CAF.
3️⃣Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika - ACA
4️⃣Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Wanaume ya shirikisho la mpira wa miguu Duniani - FIFA
5️⃣Balozi wa Lugha ya Kiswahili duniani.
Mwananchi! Vyeo vikubwa vinaendelea kumfuata Rais wetu, Hersi Said. Kuwa mkweli unasubiri kuona cheo gani kikubwa zaidi kwa mwamba?
#phupdates
#daimambelenyumamwiko
Comments