Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imevuna wateja wengi baada ya kunadi huduma zake katika semina ya siku tatu ya mafunzo ya ujasiriamali ya "Jifunde kwa Mama Ujasiiamali" iliyoandaliwa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) kwa ushirikiano na Mamo Enterpreneurship iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la JKT la Umwema Morogoro Mjini.
Semina hiyo iliyohudhiriwa na zaidi ya wajasiramali 1000 ilifunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima aliyewakilishwa na Beatrice Njawa, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Julai 13, 2026.
Uongozi wa Jukwaa hilo jipya unaoongozwa na Mwenyekiti Richard Mwaikenda na Katibu Mkuu Ahmad Mohamed ulitumia semina hiyo kulitambulisha Jukwaa hilo lililoanzishwa hivi karibuni.
𝗠𝗮𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗮 10 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘆𝗼 𝘂𝗸𝗶𝗸𝗮𝗮 𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗻𝗮𝗼, 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗯𝗼𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 ⚠️ Kumbuka: Haya ni maoni na mitazamo ya kijamii tu, si kwamba kabila fulani lina mafanikio kuliko lingine. Mafanikio yanategemea juhudi, elimu, nidhamu na fursa. 1. Wasukuma Wana sifa ya kufanya kazi kwa bidii, hasa kwenye kilimo, ufugaji na biashara. Wengi huaminika kuwa wavumilivu katika kutafuta maendeleo. 2. Wachagga Hujulikana kwa moyo wa biashara, uwekezaji na kusaidiana kifamilia katika shughuli za maendeleo. 3. Wahaya Wana historia ndefu ya biashara, elimu na shughuli za uzalishaji zinazochochea maendeleo. 4. Wanyakyusa Wengi wanasifiwa kwa bidii katika biashara, kilimo na uwekezaji wa muda mrefu. 5. Wakinga Hujulikana kwa uchapakazi, nidhamu na uthubutu wa kutafuta fursa sehemu mbalimbali za nchi. 6. Waha Wana sifa ya kujituma katika biashara na shughuli mbalimbali za kiuchumi. 7. Wapare Mara nyingi husifiwa kwa kuthamini elimu, kazi na mipango y...



Comments