Ratiba ya mazishi ya Linah Harrison Mwakyembe imetolewa na familia ambapo inaonesha kuwa Jumanne, Julai 18 shughuli za mazishi zinatarajiwa kuanza rasmi asubuhi nyumbani kwa Dk. Harrison Mwakyembe, Kunduchi Beach na marehemu ataagwa katika kanisa la Usharika wa KKKT Kunduchi jijini Dar es salaam kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 7:00 mchana. Marehemu anatarajiwa kusafirishwa kwa ndege hadi mkoani Mbeya ambako anatarajiwa kuzikwa Jumatano Julai 19, 2017.
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA....
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA....
VYUO, SHULE ZAFUNGWA DAR KUPISHA MKUTANO WA NISHATI DAR
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
MAMBO 5 YA KILA MWANANDOA KUFAHAMU
1. Wanawake wana uwezo wa kihisia wa asili ndani yao wakati wanaume wanatumia akili zaidi. Kila jambo lazima liwe na maana kwa wanaume. Matumizi ya hisia yanaweza yasiwe sahihi muda wote, mkeo anaweza asiweze kukuelezea sababu za kwanini anashauri ama anapendelea jambo fulani, lakini usipotezee anachokisema. Hivyo jifunze KUMSIKILIZA mkeo. 2. Unatakiwa kulinda eneo lililoko ndani ya mipaka yako kama mwanaume. Wanaume huwa wanamiliki maeneo yao kikawaida na kwa muktadha huu, eneo lako ni mkeo. Mlinde, usimuache bila ulinzi na gharamia mahitaji yake. 3. Kama wewe ni mwanamke, mumeo siyo "mwamke mwenzio". Kama wewe ni mwanaume, mkeo sio "mwanaume mwenzako". Usihusiane na mwenzako kama mtu anayehusiana na mtu wa jinsia yake. Mkeo siyo "msela wako". 4. Mkeo anapozungumza, wakati mwingine hataki utoe suluhu yoyote. Anataka tu kuzungumza. Hivyo usimkatishe wakati anapokusemesha, wewe furahia mazungumzo tu. 5. Kama wewe ni mwanaume na hauishi maisha ya kiroho uko ...
SALMA KIKWETE, WAWATA WAMPAISHA PROF. NDAKIDEMI
Mke wa Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, Salma Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Mchinga, akielezea mbele ya Watawa kutoka Kilimanjaro kuhusu uchapakazi wa Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi walipotembelea Bunge jijini Dodoma kwa mwaliko wao huyo. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203
Comments