MBUNGE SALOME: MSIRUHUSU KAMPUNI ZA SIMU KUWAIBIA WATANZANIA MABANDO+video

 Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Salome Makamba ameishauri Serikali kutoruhusu kampuni za mitandao ya simu kuwaibia watanzania bando wanazonunua kwa kisingizio kwamba muda wake umeisha.

Ametoa ushauri huo alipokuwaq akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari bungeni Dodoma Mei 20, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Salome akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA