MBUNGE SALOME: MSIRUHUSU KAMPUNI ZA SIMU KUWAIBIA WATANZANIA MABANDO+video

 Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Salome Makamba ameishauri Serikali kutoruhusu kampuni za mitandao ya simu kuwaibia watanzania bando wanazonunua kwa kisingizio kwamba muda wake umeisha.

Ametoa ushauri huo alipokuwaq akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari bungeni Dodoma Mei 20, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Salome akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE