Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Salome Makamba ameishauri Serikali kutoruhusu kampuni za mitandao ya simu kuwaibia watanzania bando wanazonunua kwa kisingizio kwamba muda wake umeisha.
Ametoa ushauri huo alipokuwaq akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari bungeni Dodoma Mei 20, 2022.Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Salome akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203
Comments