MBUNGE SALOME: MSIRUHUSU KAMPUNI ZA SIMU KUWAIBIA WATANZANIA MABANDO+video

 Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Salome Makamba ameishauri Serikali kutoruhusu kampuni za mitandao ya simu kuwaibia watanzania bando wanazonunua kwa kisingizio kwamba muda wake umeisha.

Ametoa ushauri huo alipokuwaq akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari bungeni Dodoma Mei 20, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Salome akitoa mchango wake huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI