MWANYIKA: TUSIVIANGALIE VIWANDA VYA SIMENTI KAMA VYA UZALISHAJI MADINI+video


 Mbunge wa Njombe Mjini, Philip Mwanyika ameishauri serikali kuacha kuviangalia viwanda vya  simenti kama vya uzalishaji madini ili kupunguza gharama za uzalishaji.


Ametoa ushauri huo na mwingine alipokuwa akitoa akichangia mjadala wa muswada wa sheria ya fedha bungeni Dodoma juni 28, 2022.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akitoa ushauri wake huo...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA