SILLO AISHAURI SERIKALI KUIWEZESHA TRA IWE NA MIFUMO MIZURI YA UKUSANYAJI KODI+video

 


Mbunge wa Babati Vijijini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo ameishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuongeza mafunzo kwa walipa kodi nchini ili kuongeza wigo wa kukusanya kodi.

Aidha, Sillo ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango kuongeza mafunzo kwa wakaguzi wa kodi za ndani, pia waiwezeshe TRA kuwa na mifumo ya kisasa ya kukusanya kodi. Ametoa ushauri wake huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo bungeni Dodoma Juni 7,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Sillo akitoa ushauri wake huo....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎