SILLO AISHAURI SERIKALI KUIWEZESHA TRA IWE NA MIFUMO MIZURI YA UKUSANYAJI KODI+video

 


Mbunge wa Babati Vijijini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo ameishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuongeza mafunzo kwa walipa kodi nchini ili kuongeza wigo wa kukusanya kodi.

Aidha, Sillo ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango kuongeza mafunzo kwa wakaguzi wa kodi za ndani, pia waiwezeshe TRA kuwa na mifumo ya kisasa ya kukusanya kodi. Ametoa ushauri wake huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo bungeni Dodoma Juni 7,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Sillo akitoa ushauri wake huo....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA