CHATANDA ACHANGAMKIWA BUNGENI DODOMA+video

Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Chatanda akichangamkiwa na wabunge nje ya viwanja vya Bungenge Dodoma Februari 3, 2023, baada ya kutambulishwa ndani ya Bunge na Naibu Spika, Mussa Zungu. Chatanda ambaye alichaguliwa kushika wadhifa huo Novemba mwaka jana, amewahi kuwa mbunge kwa miaka 15.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake  Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda akitambulishwa  na Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu bungeni Dodoma Februari 3, 2023. Chatanda amewahi kuwa Mbunge kwa kipindi cha miaka 15.
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu akimtambulisha Mary Chatanda.
Chatanda akiwa amekaa jukwaa la wageni wa Spika. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu UWT Tannzania Bara, Riziki Kingwande na msaidizi wake.  



Naibu Katibu Mkuu UWT Tanzania Bara, Riziki Kingwande akitambulishwa.

Chatanda akiondoka bungeni baada ya kutambulishwa.
Chatanda akipiga picha za kumbukumbu na baadhi ya wabunge nje ya lango kuu la kuingilia bungeni.

Akisalimiana na baadhi ya wabunge.








 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza/ona kupitia clip hii ya video, Chatanda alivyochangamkiwa bungeni....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA