Katibu Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akimsikiliza mwananchi aliyejitokeza kumlaki jana wakati msafara wake ulipowasili katika Soko la Mazao Tunduma kwa ajili ya kusikiliza kero za wafanyabiashara hao Aprili 15, 2024. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo.
Katibu Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akimsikiliza mwananchi aliyejitokeza kumlaki jana wakati msafara wake ulipowasili katika Soko la Mazao Tunduma kwa ajili ya kusikiliza kero za wafanyabiashara hao Aprili 15, 2024. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo.
Comments