Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Mkoa wa Ruvuma, Mariam Nyoka ameihoji serikali kwamba ina mpango gani wa kukarabati Kituo cha Afya cha Mkongo Gulioni na ujenzi wa Jenhgo ma Mama na Mtoto na upasuaji Songea?
Amehoji hilo wakati wa wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 24, 2024.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments