MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

 

 * 

Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024*

 Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam*


Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024*


Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro


Taarifa zaidi zitatolewa baadae


 *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon*


Pumzika kwa amani  Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

ZIARA YA DKT NCHIMBI KUINGIA RUVUMA LEO