*
Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024*
Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam*
Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024*
Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro
Taarifa zaidi zitatolewa baadae
*Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon*
Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments