MWANACHADEMA MSEMAJI WA WAMACHINGA TAIFA AHAMIA CCM

Msemaji Mkuu wa Wamachinga nchini ambaye alikuwa mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zeche Chengula kutoka Iringa amejiunga leo na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukabidhiwa kadi ya uanachama na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi katika mkutano uliofanyika jijini Mbeya. Pichani ni Zeche akiwa amebebwa baada ya kukabidhiwa kadi.

Zeche akikabidhiwa kadi ya CCM
Furaha baada ya kukabidhiwa kadi
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla akimtambulisha Zeche.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI