Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro, Shally Raymond akitoa mchango wake wakati wa mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, bungeni Dodoma Mei 8, 2024.
Pamoja na mambo mengine aliiomba Serikali kuwathamini, waalimu, wahadhili kwa kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia kazi pamoja na kuwalipa stahiki zao kwa wakati.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments