VIONGOZI WA DINI, ASASI WAJITOKEZA KUTOA MAONI UBORESHAJI KANUNI ZA UCHAGUZI

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Festo Ndugange akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao ha viongozi wa dini, Asasi za kiraia na mashirika yasiyo ya kiserikali kujadili rasimu ya kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 jijini Dodoma juni 14, 2024.

Ndugange amesema kuwa kanuni hizo zitawezesha uchaguzi huo kuwa wa uhuru, haki na amani.

Baadhi ya viongozi wa dini na Asasi mbalimbali wakiwa kwenye kikao hicho.








IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAS KILIMANJARO NA DEREVA WAFARIKI KWA AJALI, MKUU WA MKOA ADHIBITISHA

BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU, MGOMBEA URAIS WA FRELIMO

MBUNGE MBOGO AWAALIKA BUNGENI VIONGOZI UWT KATAVI

DKT NCHIMBI AUNGURUMA KILIMANJARO

SPIKA TULIA AMLILIA MBUNGE EALA

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BAJETI YA 2024/2025

KIKWETE AANZISHA MSOGA HALF MARATHON

PROF NDAKIDEMI AITAKA SERIKALI KUPELEKA VIFAA TIBA URU KUSINI

WANANCHI KIBOSHO WAIOMBA SERIKALI KUWAJENGEA VIVUKO VYA KUDUMU