MSIOGOPE KABISA KUICHAGUA CCM - DK. NCHIMBI


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi, Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka wananchi kutoogopa wala kuona aibu kukichagua chama hicho wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024.

Ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi wakati wa ziara yake ya kwanza mkoani Simiyu Oktoba 6, 2024.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA