WANAWAKE MSIOGOPE LOLOTE KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA UONGOZI- CHATANDA


Na Mwandishi Wetu, Tanga Mjini

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewataka wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali bila kuogopa lolote lile.

Aidha, Chatanda amewataka wanaume wote kuendelea kuwaunga mkono wanawake wenye karama na uwezo mkubwa wa uongozi na bila ubaguzi wowote ule.

Aidha, amehimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa ajili ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024. Uandikishaji untamatika leo.

Ameyasme hayo alipotinga mitaani mjini Tanga kuhamasissha wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari hilo.

#uwtimara
#jeshiladktsamianadktmwinyi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO