MUSOMA VIJIJINI: SERIKALI YAENDELEA KUSAMBAZA MAJI SAFI NA SALAMA YA BOMBA JIMBONI MWETU


Jana, Mkuu wa Wilaya ya Musoma (DC) Mhe Juma Chikoka alishuhudia RUWASA ikimkabidhi Mkandarasi mradi wa thamani ya Tsh 870,000,000 (Tsh 870m) wa kusambaza maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria kwenda vijiji vya KABONI na SEKA vya Kata ya Ny 
amrandirira.


CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa ina ujumbe muhimu kutoka kwa baadhi ya walengwa wa mradi huu - tafadhali wasikilize!


Ofisi ya Mbunge 

Jimbo la Musoma Vijijini 

www.musomavijijini.or.tz 


P. O. Box 6

Musoma 



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO 8 MWANAMKE HUFANYA KWA MWANAUME ANAYEMPENDA

SALMA KIKWETE, WAWATA WAMPAISHA PROF. NDAKIDEMI