BUWSSA YAJIVUNIA MAFANIKIO AWAMU YA RAIS SAMIA

 Esther Gilyoma Mkurugenzi Mtendaji Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira akizungumza na waandishi wa habari  katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Machi 6, 2025, kuhusu mafanikio ya Mamlaka hiyo katika miaka minne ya ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitoa neno la shukrani la kuhitimisha mkutano huo.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

MAMBO 8 MWANAMKE HUFANYA KWA MWANAUME ANAYEMPENDA