CCM, CHAMA CHA UKOMBOZI CHA CUBA KUENDELEZA USHIRIKIANO WA KIHISTORIA


 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndg. Stephen Wassira akimsindikiza Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam leo Machi 6, 2025.

Katika mazungumzo viongozi hao waliahidi kuendeleza ushirikiano wa kihistoria kati Chama Cha Mapinduzi na Chama cha Kikomunisti cha Cuba, pamoja na Tanzania na Cuba.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

MAMBO 8 MWANAMKE HUFANYA KWA MWANAUME ANAYEMPENDA