WANAHABARI WAOMBWA KUHAMASISHA VIJANA KUJIUNGA VYUO VYA VETA

 


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mafunzo  na Ufundi Stadi (VETA), CPA. Anthony Kasore akijibu maswali kutoka kwa  Mhariri wa Mtandao huu alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Machi 3, 2025 kuhusu mafanikio ya miaka minne ya Taasisi hiyo katika Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Sulihu Hassan.

Waandishi wa habari wakiuliza maswali wakati wa mkutano huo




Wanahabari wakisikiliza kwa makini kuhusu majukumu ya VETA.





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

MAMBO 8 MWANAMKE HUFANYA KWA MWANAUME ANAYEMPENDA