BENKI YA NMB "KAMA KAWA" MAONESHO YA BIASHARA-SABASABA

Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kupitia banda lake maalum, NMB inawakaribisha wananchi, wajasiriamali, pamoja na familia kwa ujumla kupata huduma kamili za kibenki pamoja na elimu ya fedha kwa ajili ya maendeleo yao ya kifedha.





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA