CHATANDA ALIVYOSHIRIKI WAKATI RAIS AKIHUTUBIA NA KULIHITIMISHA BUNGE LA 12

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania (UWT), Mary Chatanda (katikati) akisikiliza kwa makini wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tganzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 bungeni jijini Dodoma Juni 27, 2025.     Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule.



Chatanda akitambulishwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson.





 Wakiwa wamesismama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA