MWANYIKA ALIVYOUONGOZA MSAFARA WA JAJI MKUU MASAJU KUINGIA BUNGENI

Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Njombe Mjini akimuongoza Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju kuingia bungeni wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipohutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 jijini Dodoma. Mwanyika pia alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Bishara, Kilimo na Mifugo.










Jaji Mkuu, Masaju akitambulishwa bungeni.

Mwanyika akiteta jambo na Mwenyekiti mwenzie wa Bunge, Najma Murtaza Giga


 
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA