Mwanaume Unatakiwa umzidi mpenzi/mwenza wako kwenye vitu vitatu

1. Umri

2. Maarifa /akili / Elimu au uelewa wa mambo

3. Pesa/ kipato/utafutaji 


Na mwanamke anatakiwa umzidi mumeo kwenye vitu vitano 

1. Uvumilivu 

2. Usafi

3. Upendo

4. Mipango

5. Sala/maombi /Imani


Na mnatakiwa muwe sawa kwenye vitu viwili

1. Uvumilivu 

2. Heshima & Kusameheana.

3. Akili na busara 


Credit to the Rightful Owner

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI