DKT. MIGIRO KUANZA ZIARA DAR

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. ๐—”๐˜€๐—ต๐—ฎ-๐—ฟ๐—ผ๐˜€๐—ฒ ๐— ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ฟ๐—ผ anatarajiwa kuanza ziara ya kukutana na kuzungumza na Mabalozi wa Mashina katika kukijenga chama na kuimarisha Uhai wa Jumuiya zake.

Balozi Dkt. Migiro ataanza ziara hiyo siku ya tarehe 07 Januari 2026 kwa kukutana na Mabalozi wa Mashina wa Wilaya ya Temeke na Kigamboni katika ukumbi wa TPA Jijini Dar es salaam.

Kauli mbiu katika ziara hii ni ๐™Ž๐™๐™ž๐™ฃ๐™– ๐™‡๐™–๐™ ๐™ค ๐™‡๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ž๐™ฉ๐™–.

#CCMImara
#KaziNaUtuTunasongaMbele



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA