MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

Mapacha watatu wa familia ya Richard Mwaikenda wamebarikiwa kwa kupata Kipaimara katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kivule, Wilaya ya Ilala  jijini Dar es Salaam Desemba 14, 2025.Watoto hao ni Catherine, Caren na Loveness.

Zaidi ya watoto 40 walipata ubarikio huo ulioongozwa na Mchungaji Frank Kimambo ambaye pia Mkuu wa Jimbo la Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jimbo la Kati.

Baada ya kufanikisha ibada hiyo ya ubarikio, Mchungaji Kimambo aliendesha sala fupi ya kubariki kiwanja kilichoteuliwa kanisani hapo kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Shule ya Watoto (Sunday School). 


Mwaikenda (aliyevaa kaunda suti ya bluu) akiwa na mapacha hao pamoja na ndugu, jamaa na marafiki.

Catherine.
Caren.
Loveness.
Catherine (Kulwa) akiwa na mdogo wake Lusajo akiiongoza familia kutoka nje ya kanisa.











Mchungaji Frank Kimambo akiendesha sala wakati wa kulibariki eneo patakapojengwa jengo la watoto kanisani hapo.


VETI VYAO


 





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA