NAPENDA SANA PILAU, MAKANGE NA CHIPSI - AZIZ KI

Mimi napenda sana pilau, ndiyo chakula changu pendwa, makange ya samaki napenda sana, chapati, chipsi mayai, hivyo ndivyo vyakula ambavyo hapa Tanzania navipenda sana, lakini ugali hapana sipendi wala wali sio mpenzi sana, unajua mimi sio mtu mlaji sana na bahati mbaya sipendi kula chakula ambacho sikifahamu lakini namshukuru mke wangu anaendelea kunibadilisha taratibu.
.
“Namshukuru Mungu nina mke ambaye anaelewa ni mambo gani natakiwa kuzingatia wakati wa vyakula, unajua maisha yetu muda mrefu tunakuwa kambini, ni siku chache sana tunakuwa nyumbani
.
“Lakini mke wangu anazingatia sana vyakula ambavyo sitakiwi kuvitumia san ili nisiongeze uzito wa mwili na wakati mwingine namsaidia kumwelewesha hiki sitakiwi kufanya sasa wala kukitumia na anaelewa.“ — Aziz Ki. [Mwanaspoti]


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA