MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza Baraza la Mawaziri huku wakiwekwa kando baadhi ya mawaziri waliokuwamo kwenye baraza lililopita.

Walioachwa ni :-

1. Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

2. Hussein Bashe, Alikuwa Waziri wa Kilimo

3. Innocent Bashungwa, Alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

4. Jenista Mhagama, Alikuwa Waziri wa Afya

5. Dk Seleman Jafo, Alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara

6. Dk Pindi Chana, Alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

7. Dkt Damas Ndumbaro, Alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria.

Nani hapa amekuuma zaidi kwa walioachwa.

#LemutuzUpdates




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI