Hawa hapa ndio wachezaji wa kigeni wa Yanga SC kuelekea msimu ujao ✅
1. Djigui Diarra 🇲🇱
2. Yao Kouassi 🇨🇮
3. Chadrack Boka 🇨🇩
4. Duke Abuya 🇰🇪
5. Maxi Mpia Nzengeli 🇨🇩
6. Laurindo Depu 🇦🇴
7. Allan Okello 🇺🇬
8. Cheikh Ibrahima Touré 🇸🇳
9. Housseine Zakouani 🇰🇲
10. Albert Kangwanda 🇿🇲
11. ________?
12. ________?
Mpaka sasa hivi bado wachezaji 2 hawajatambulishwa kukamilisha idadi ya wachezaji 12 wa kigeni kwenye kikosi cha Yanga SC msimu ujao 🙌🔥

Comments